Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Wednesday 30 April 2014

ASASI YA IRAWS – TANZANIA YAWASILISHA STADI JUU YA JINSI YA KUDHIBITI IDADI YA WAFUNGWA MAGEREZANI LEO JIJINI DAR ES SALAAM

image
image_1 image_2 photo
Kamishna wa Huduma za Urekebishaji, Deonice Chamulesile(wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Wadau mbalimbali waliohudhuria Kikao hicho cha uwasilishaji wa Stadi juu ya jinsi ya kudhibiti idadi ya Wafungwa Magerezani. Kikao hicho kimefanyika  katika Ukumbi wa Luther House, leo Aprili 30, 2014 Jijini Dar es Salaam(wa kwanza kulia) ni Makamu Mwenyekiti wa Asasi ya IRaWS – TANZANIA, Kamishna Mkuu Mstaafu Magereza Nicas Banzi(wa pili kushoto) ni Mwenyekiti wa Asasi ya IRaWS – Tanzania, Kamishna Mkuu Mstaafu wa Magereza Onel Malisa(wa kwanza kushoto) ni Afisa Mwandamizi Mstaafu wa Magereza, Bi Regina Thomas(Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).


CHANZO,FULL SHANGWE 

No comments:

Post a Comment