
Mh:Mwigulu Nchemba na Balozi Libereta Mulamula Wakielekea Kufungua Tamasha la Michezo,Mpira wa Miguu na Michezo Mingine hapa Washington.

Mtanzania huyu hakufahamika Jina akielekea Kwenye Sherehe za Nyama Choma na Michezo Mwendelezo wa Miaka 50 ya Muungano Wa Tanzania.

CHANZO,MATUKIO NA VIJANA BLOG
No comments:
Post a Comment