Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 28 April 2014

ANGALIA PICHA TAMASHA LA MICHEZO NA NYAMA CHOMA WATANZANIA NCHINI MAREKANI


Mh:Mwigulu Nchemba na Balozi Libereta Mulamula Wakielekea Kufungua Tamasha la Michezo,Mpira wa Miguu na Michezo Mingine hapa Washington.


Mtanzania huyu hakufahamika Jina akielekea Kwenye Sherehe za Nyama Choma na Michezo Mwendelezo wa Miaka 50 ya Muungano Wa Tanzania.

 Mh:Mwigulu Nchemba akibadilishana Mawazo na Balozi Mulamula wakati wa  Michezo na Nyama Choma zinaendelea Kufana hapa Washington DC.

CHANZO,MATUKIO NA VIJANA BLOG

No comments:

Post a Comment