*Mwanamke
mtumiaji aliyeolewa anaua watoto 12 kila mwaka bila kujielewa
Na Daniel
Mbega
KUPANGA
uzazi kwa njia za kisasa ni kuamua juu ya mpishano wa miaka ya kuzaliwa watoto
na juu ya idadi ya watoto ambo familia inapenda kuwazaa, ambapo njia hizo
hutumia dawa (kemikali) zilizomo katika vidonge vya majira (pills), vitanzi (loops), vipandikizi (norplant
implant), sindano ya Depo Provera,
lunelle, emergency contraceptives, quinacrine, povu, mafuta, vidonge
viyeyukavyo ukeni, kondomu na kutoa mimba.