Na Jumia Travel Tanzania
Unaweza usiamini kwamba ile michezo ya baharini unayoiona kupitia kwenye runinga, wazungu wakiicheza unaweza ukaifanya ukiwa hapahapa nchini Tanzania. Jumia Travel (www.travel.jumia.com) ingependa kukujuza kuwa hoteli ya Skipper’s Haven iliyopo Temeke jijini Dar es Salaam, inayo michezo kadhaa ya baharini ambayo itakustaajabisha.
Twitter Buzz
....
...
IMETOSHA!
Featured post
KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO
Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...
Showing posts with label UTALII. Show all posts
Showing posts with label UTALII. Show all posts
Friday, 20 January 2017
Thursday, 19 January 2017
KAMATI YA BUNGE YA ARDHI, MALIASILI NA UTALII YATEMBELEA MAKAO MAKUU YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII, MPINGO HOUSE
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Aloyce Nzuki (kulia) akisalimiana na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge Ardhi, Maliasili na Utalii, Mhandisi Atashasta Nditiye baada ya kuwasili makao makuu ya Wizara hiyo Mpingo House Jijini Dar es Salaam jana huku akiongozana na wajumbe wa kamati hiyo.
KAMATI YA BUNGE YA ARDHI, MALIASILI NA UTALII YATEMBELEA MAKAO MAKUU YA TTSA, TAWA NA TAFORI
Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe (wa pili kushoto) na Katibu Mkuu wa Wizaya hiyo, Meja Generali Gaudence Milanzi (kushoto) wakiwakaribisha wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii walipowasili katika ofisi za Wakala ya Miti za Mbegu Tanzania (TTSA) mjini Morogoro jana kwa ajili ya kuona kazi na miradi ya wakala huyo. Kushoto ni wajumbe wa kamati hiyo, Silafi Maufi ambaye ni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Rukwa na Godwin Molel (wa pili kushoto), Mbunge wa jimbo la Siha.
ZINGATIA HAYA ILI KUREJESHA ARI YA KUFANYA KAZI BAADA YA LIKIZO
IWAPO unazitambua vizuri barabara za jiji la Dar es Salaam, basi utagundua kwamba kuna tofauti kubwa kwenye msongamano wa magari ukilinganisha na kipindi cha sikukuu. Hali hiyo imetokana na idadi kubwa ya watu kurejea jijini kuendelea na shughuli za kazi, ambapo wengi walikuwa kwenye likizo na mapumziko ya mwisho wa mwaka.
Saturday, 14 January 2017
ERNIE ELS DESIGN YASAINI MKATABA NA ZANZIBAR AMBER RESORT KUJENGA UWANJA WA GOFU WA KIMATAIFA
Mkurugenzi wa Zanzibar Amber Resort, Saleh Mohammed Said akitia saini mkataba wa makubaliano na mcheza Gofu duniani Ernie Els ambae ana kampuni ya Ernie Els Design huko Afrika Kusni leo
Friday, 13 January 2017
FURAHIA OFA HIZI ZA 'TRAVEL WEDNESDAY' KUTOKA JUMIA TRAVEL
Kila siku ya Jumatano ya kila wiki, Jumia Travel (www.travel.jumia.com) huwa inawaletea wateja ofa za punguzo la bei kutoka hoteli mbalimbali nchini Tanzania ambazo hudumu mpaka siku ya Ijumaa.

Ofa hizi humuwezesha mteja kuchagua na kulipia sehemu anayoitaka kwa njia ya mtandaoni au pindi atakapowasili hotelini. Lengo kubwa ni kumuwezesha kila mtu kufurahia utajiri wa sehemu lukuki za kuvutia zinazopatikana kila kona ya nchi kwa gharama nafuu.
NAIBU WAZIRI MAKANI KUMALIZA MGOGORO WA LOLIONDO ULIODUMU KWA ZAIDI YA MIAKA 25
Naibu
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhandisi Ramo Makani (wa pili kushoto) akioneshwa
Ramani ya Kijiji cha Ololosokwan na Diwani wa Kata hiyo, Yanick Ndoinyo alipotembelea kijiji hicho hivi
karibuni kuona changamoto za uhifadhi. Kulia ni Kaimu Mwenyekiti wa Kijiji cha
Ololosokwan, Emmanuel Salteimoi.
Wednesday, 11 January 2017
Friday, 6 January 2017
PUBLIC NOTICE: GRADING OR RE-GRADING OF ACCOMMODATION FACILITIES IN DAR ES SALAAM REGION (PHASE I)
The
United Republic of Tanzania
MINISTRY
OF NATURAL RESOURCES AND TOURISM
NOTICE FOR GRADING OR RE-GRADING OF
ACCOMMODATION
FACILITIES IN DAR ES SALAAM REGION (PHASE I)
All
owners and operators of accommodation facilities in Dar es Salaam Region are
hereby notified that the Ministry of Natural Resources and Tourism shall
conduct Grading/Re-grading of all designated accommodation facilities in Dar es
Salaam Region. To this effect, the Ministry gives thirty (30) days notice, from
the date of issuance of this notice, for the owners and operators of accommodation
facilities in Dar es Salaam Region to make the necessary preparations for a
smooth and efficient run of the ensuing exercise.
Tuesday, 3 January 2017
Monday, 2 January 2017
SERIKALI KULIPA DENI LA WALIOATHIRIKA NA WANYAMAPORI
Naibu Waziri wa
Maliasili, Mhandisi Ramo Makani (kulia) akikagua moja ya shamba la mahindi
lililoharibiwa na tembo katika kijiji cha Kunzugu, wilaya ya Bunda Mkoani Mara jana
wakati wa ziara yake ya kuangalia changamoto za uhifadhi mkoani humo. Kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda,
Lydia Bupilipili.
Saturday, 31 December 2016
MAONI YA WATEJA NI MUHIMU KWA UKUAJI WA BIASHARA YAKO
Na Jumia Travel Tanzania
KUJA kwa maendeleo ya sayansi na teknolojia hususani mtandao wa intaneti kumebadilisha kwa kiasi kikubwa mienendo ya matangazo ya utoaji wa huduma mbalimbali duniani na hii ni kutokana na uwezo wake wa kuwaruhusu wateja kutoa ushuhuda, kukosoa au kutoa maoni juu ya walichohudumiwa na kujionea.
NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, MHANDISI RAMO MAKANI AUNDA KAMATI YA KUSULUHISHA MGOGORO WA MUDA MREFU WA PORI TENGEFU LA LOLIONDO, ATOA UFAFANUZI WA UTOAJI WA TAARIFA ZA FARU JOHN
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhandisi Ramo Makani (kulia) akizungumza katika kikao cha wadau wanaohusika na mgogoro wa pori tengefu la Loliondo alichokiitisha katika ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, katika tarafa ya Loliondo wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha jana. Kupitia kikao hicho aliunda kamati maalum ya kutatua mgogoro wa muda mrefu wa pori tengefu la Loliondo. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro, Mfaume Taka.
Friday, 30 December 2016
MHANDISI MAKANI ATOA WIKI MBILI KWA WAFANYAKAZI NGORONGORO KUWASILISHA TAARIFA ZA MIFUGO NA MAJENGO YA KUDUMU WANAYOMILIKI NDANI YA HIFADHI HIYO
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhandisi Ramo Makani (katikati)
akizungumza na watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro wilayani
Ngorongoro mkoani Arusha jana katika ziara yake ya kufuatilia utekelezaji
wa maagizo ya Waziri Mkuu. Kulia
ni Mhifadhi Mkuu wa Mamlaka hiyo, Freddy Manongi na Mbunge wa Jimbo la
Ngorongoro ambaye pia ni Naibu Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, William Ole
Nasha (kushoto).
Tuesday, 27 December 2016
ASAKARI JESHI NA WANAHABARI WALIVYOSHEREHEKEA MIAKA 55 YA UHURU KATIKA KILELE CHA UHURU MLIMA KILIMANJARO
Safari ya kuekea kilele cha Uhuru inaanza majira ya saa 5:00 usiku kwa kuianza safafri kutoka Kibo Hut.
Friday, 23 December 2016
Tuesday, 20 December 2016
Friday, 16 December 2016
Thursday, 15 December 2016
PENNYROYAL GIBRALTAR YATILIANA SAINI NA MCC OVERSEAS UJENZI WA ZANZIBAR AMBER RESORT
Mkurugenzi wa Mradi wa Ujenzi Kijiji cha Utalii Matemwe Zanzibar Pennyroyal Gibraltar Limited Zanzibar Amber Resort Mr. Saleh Mohammed Said akizungumza kabla ya kuaza kwa hafla hiyo ya utilianaji wa Saini ya Ujenzi wa Mradi huo na Kampuni ya MCC Overseas Ltd ya China, hafla hiyo ya utianaji wa saini hyo umefanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Park Hyyat Shangani Zanzibar.
Subscribe to:
Posts (Atom)





