Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina.
Twitter Buzz
....
...
IMETOSHA!
Featured post
KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO
Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...
Showing posts with label BIASHARA NA UCHUMI. Show all posts
Showing posts with label BIASHARA NA UCHUMI. Show all posts
Sunday, 24 March 2019
Saturday, 23 March 2019
Wednesday, 20 March 2019
UVUVI HARAMU WA MABOMU TUMEUTOKOMEZA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 98-MPINA
Thursday, 26 January 2017
BENKI YA DUNIA YAAHIDI KUSHIRIKIANA NA TANZANIA KUKUZA UCHUMI
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb) (wa Pili kutoka kulia) akisisitiza jambo wakati wa alipokutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia anayeshughulikia ukanda wa Afrika Bw. Makhtar Diop, makao makuu ya Wizara ya Fedha na Mipango, Jijini Dar salaam.
Friday, 20 January 2017
DENMARK KUHAMASISHA WAWEKEZAJI KUJA KUWEKEZA TANZANIA
Waziri wa Fedha na
Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (wa kwanza kulia), akisisitiza jambo wakati wa
mkutano wake na ujumbe kutoka nchini Denmark, ukiongozwa na Waziri wa nchi
anayeshughulikia Sera, Bw. Martin Hermann, walipokutana Makao Makuu ya Wizara
ya Fedha na Mipango Jijini Dar es salaam.
Thursday, 19 January 2017
WAFANYABIASHARA WAILALAMIKIA HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA ,WAPINGA NOTISI WALIYOPEWA
Na Woinde
Shizza, Arusha
WAFANYABIASHARA wa maduka jijini Arusha,wameilalamikia halmashauri hiyo ,wakipinga notisi ya miezi mitatu waliopewa ,inayowataka kuondoka katika maduka hayo,ifikapo Machi 30,mwaka huu, kufuatia maduka yao kudaiwa kumilikiwa ma madalali na hivyo kuikosesha mapato
halmashauri hiyo.
Wednesday, 11 January 2017
IMF-TANZANIA MACROECONOMIC PERFORMANCE REMAINS STRONG
On January 9, 2017, the Executive Board of the International Monetary Fund (IMF) completed the fifth review of Tanzania’s economic performance under the program supported by a three-year Policy Support Instrument (PSI). The Board’s decision was taken on a lapse of time basis.
Friday, 6 January 2017
WANANCHI WASAIDIA KUZIMA MOTO ULIOTOKEA KITUO CHA DATA CHA TIGO MOROGORO
Tuesday, 3 January 2017
CHAWABATA CHAPINGA MANISPAA YA ILALA KUKAGUA LESENI ZA WAUZA VILEO USIKU JIJINI DAR
Mwenyekiti wa Chama cha Wahudumu wa Baa Tanzania (Chawabata), Ali Hussein (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akipinga zoezi linalofanywa na Manispaa ya Ilala la kukagua leseni za wauza vileo usiku. Kushoto ni Katibu wa chama hicho, Boniface Lameck.
Thursday, 22 December 2016
JUMIA TRAVEL YAZINDUA KAMPENI YA PUNGUZO LA BEI KILA JUMATANO
KUFUATIA mafanikio makubwa ya kampeni ya ‘Black Friday’ iliyovunja rekodi ya mauzo kwa zaidi ya 30% kwa siku, Jumia Travel imerudi tena na ofa kabambe inayokwenda kwa jina la ‘Travel Wednesday’ itakayokuwa ikifanyika kila siku ya Jumatano kupitia kwenye tovuti yake. Promosheni hii ambayo pia itajulikana kama “Dream Deals” inajumuisha punguzo kubwa la bei kwenye hoteli za hadhi ya juu ambazo zinazopendwa na watu wengi ikiwa ni muendelezo wa kuwapatia wateja machaguo mengi zaidi ya sehemu za kupumzika hususani kipindi hiki cha msimu wa sikukuu.
KAMPUNI YA SIMU YA TIGO YATAMBULISHA ZANA MPYA NA KUBORESHA DHANA YA TIGO PESA KWA WATUMIAJI WA SMARTPHONE
Mkuu wa Huduma za Kidijitali wa Tigo, Tawonga Mpore (kushoto), akizungumza Dar es Salaam leo, kuhusu kampuni hiyo kutambulisha zana mpya ya simu na kuboresha zana ya Tigo Pesa kwa watumiaji wa Smartphone. Kulia ni Mtaalamu wa Mawasiliano kutoka Tigo, Suleiman Asilia.
Monday, 19 December 2016
AFDB YAIPATIA TANZANIA MKOPO WA BILIONI 360 KWA AJILI YA KUIMARISHA TANESCO NA BENKI YA KILIMO NCHINI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha
na Mipango, Bw. Doto James (kushoto) na
Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Tonia Kandiero
wakisaini mikataba miwili ya mikopo yenye masharti nafuu yenye thamani ya
shilingi Bilioni 360 kwa ajili ya kuongeza Ufanisi wa Tanesco na kuiongezea
mtaji Benki ya Maendeleo ya Wakulima nchini-TADB, Makao Makuu ya Wizara ya
Fedha na Mipango, Jijini Dar es salaam.
MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMA CHA WAFANYABIASHARA WA CHINA JIJINI DAR E SALAAM
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi wa Chama Cha
Wafanyabiashara wa China nchini Tanzania ambao walimtembelea ofisini
kwake leo.
.............................................................
Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewakaribisha
wawekezaji kutoka nchini China kuja kuwekeza nchini katika maeneo mbalimbali
ikiwemo uvuvi katika bahari,madini, utalii, ujenzi wa viwanda na miundombinu.
Makamu wa
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kauli hiyo baada ya kukutana na kufanya
mazungumzo na Watendaji Wakuu wa makampuni makubwa kutoka nchini China ambao
walikuja hapa nchini kutafuta fursa za uwekezaji.
Thursday, 15 December 2016
TIGO YAZINDUA DUKA LA 'TEAM LEADERS' DEVIS CORNER TANDIKA TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM ILI KUKUZA UJASIRIAMALI
Msimamizi wa Biashara wa Kampuni ya Simu Tigo Dar es Salaam na Zanzibar, Nderingo Materu (wa pili kushoto), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa duka dogo la Tigo Tandika Devis Corner leo. Kutoka kulia ni Meneja Mauzo wa Tigo Wilaya ya Temeke, Fadhila Saidi, Mwendeshaji wa duka hilo, Khadija Matambo na kushoto ni Meneja Huduma kwa Wateja wa kampuni hiyo, Isack Shoo.
Monday, 12 December 2016
SERIKALI KUPITIA UPYA KODI ZINAZOLETA KERO
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb)
Benny Mwaipaja, WFM, Dar es
salaam
WAZIRI wa Fedha na Mipango,
Dkt. Philip Mpango, amesema kuwa Serikali imeanza kuyafanyia kazi maoni na
malalamiko ya wafanyabiashara na wawekezaji kwa ujumla kuhusu kodi
zinazolalamikwa kwa lengo la kuhuisha ama kubadili kodi zinazoonekana kuwa ni
kero.
Friday, 9 December 2016
MFUMUKO WA BEI WAONGEZEKA KUTOKA ASILIMIA 4.5 MWEZI OCTOBA MPAKA ASILIMIA 4.8 MWEZI NOVEMBA
Mkurugenzi wa Sensa na
Takwimu za Jamii Epharaim Kwesigabo akiongea na wanahabari (hawapo pichani)
kuhusu hali ya mfumuko wa bei kwa mwezi Novemba mwaka huu, kulia kwake ni
Mtakwimu Bw. Muhidini Mtindo. (Picha na Benjamin Sawe-Maelezo).
Thursday, 1 December 2016
SERIKALI YASHAURI MAJINA YA WAHASIBU WEZI YAWEKWE HADHARANI
Waziri wa Fedha, Dk. Philip Mpango (kulia), akikata utepe kwa niaba ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuashiria kuzindua rasmi Kituo cha Taaluma ya Uhasibu (APC), kilichopo Bunju jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA), Profesa Isaya Jairo na Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa GEPF, Joyce Shaidi.
SERIKALI KUFANYA MALIPO KWA MFUMO WA KIELEKRONIKI NCHINI
Wizara
ya Fedha na Mipango imekamilisha ujenzi wa mfumo wa malipo moja kwa moja
kupitia akaunti za walipwaji katika mtandao wa malipo wa Benki Kuu ya Tanzania (Tanzania
Interbank Settlement System – TISS), katika mkoa wa Morogoro, hatua
inayolenga kuongeza ufanisi wa miamala mbalimbali inayofanywa na serikali.
MUUZA MITUMBA SOKO LA KARUME JIJINI DAR ES SALAAM AFUTIWA LESENI YA BIASHARA KWA KUMDHALILISHA MTEJA WAKE WA KIKE
Diwani wa Kata ya Mchikichini, Joseph Ngowa (katikati), akihutubia wakati akizindua kampeni ya siku 16 ya kupinga ukatili wa kijinsia iliyoandaliwa na Shirika la Eguality for Growth (EfG), Dar es Salaam leo asubuhi. Kushoto ni Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Wanawake katika Soko la Mchikichini, Betty Mtewele na kulia ni Ofisa Mtendaji wa Kata ya Mchikichini, Charles Kapongo.
Subscribe to:
Posts (Atom)





