Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Thursday 26 June 2014

UFARANSA, USWISI ZAPETA HATUA YA 16 KOMBE LA DUNIA, HONDURAS, ECUADOR WAPANDA NGEGE

TIMU ya Taifa ya Ufaransa imefuzu hatua ya 16 ya kombe la dunia kama washindi wa kwanza wa kundi E baada ya usiku huu kuambulia pointi moja kufutia suluhu ya bila kufungana na Ecuador.
Ufaransa wamefikisha pointi 7 kileleni wakifuatiwa na Uswisi wenye pointi 6 katika nafasi ya pili baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Honduras.
Mabao yote ya Uswisi yamefungwa na Xherdan Shaqiri katika dakika ya 5, 30 na 70.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com

CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment