Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday 28 June 2014

DAVID MOYES AULA GALATASARAY, AFIKA NA KUFANYA MAZUNGUMZO…

Target: The former Manchester United boss looked relaxed as he touched down in Istanbul
 Anawindwa: Kocha wa zamani wa  Manchester United alionekana mwenye furaha baada ya kugusa ardhi ya  Istanbul.
 
DAVID Moyes amepewa ofa ya mwaka mmoja wenye thamani ya paundi milioni 4 ili arithi mikoba ya  Roberto Mancini katika nafasi ya kocha mkuu wa Galatasaray.
Moyes anarudi kazini mapema baada ya kufukuzwa Manchester United mwezi aprili mwaka huu baada ya kufanya kazi kwa miezi tisa tu katika mkataba wake wa miaka mitano.
Katika utawala wake Man united, Moyes alishindwa kuipa makali baada ya kurithi mikoba ya Sir Alex Ferguson aliyestaafu kufundisha soka.
Moyes alishawasili mji mkuu wa Uturuki na kufanya mazungumza na leo hii jumamosi nchini kwake Scotland.
Mazungumzo ya pande mbili yamekwenda vizuri na kuwaacha  Waturuki wakiamini kuwa tayari wameshamnasa  mtu wao.
Arrival: David Moyes was in Istanbul but is understood to be cautious about a move toe Turkey
 Anawasili: David Moyes alikuwa mjini Istanbul, lakini inafahamika kuwa tayari dili la kujiunga na klabu ya huko limekamilika.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com

CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment