Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday 24 June 2014

MAMISS WA KITANZANIA WAJIUZA LAIVU INDIA, MISS KINONDONI, MISS PWANI, MISS RUVUMA NAO NDANI!

Mrembo Neema Chande aliyeshiriki mashindano ya urembo mwaka 2007, ambaye anadaiwa kuwa miongoni mwa mabinti wa Kitanzania wanaojiuza/kuuzwa kwa ngono nchini India.

Hii ni biashara ya ngono! Ni utumwa wa ngono na kuudhalilisha utu wa mwanamke na Mtanzania kwa ujumla. Hebu soma hapa uone taarifa hii ya kusikitisha iliyotundikwa kwenye jukwaa maarufu la Jamii Forums na msomaji mmoja:
Click image for larger version. 

Name: IMG-20140524-WA0022.jpg 
Views: 0 
Size: 169.6 KB 
ID: 166582

"Niliwahi kupost hapa JF habari za mabinti wanaosafirishwa kutoka Tanzania kupelekwa Delhi kwa ajili ya kufanya biashara ya uchangudoa kwenye mahoteli na makasino huku wakipost picha zikionesha baadhi ya saterehe wanazofanya huko.

Kinara wa kusafirisha mabinti hao anaitwa Shumileta na Serikali na viongozi wote mpaka balozi inamjua mtu huyu lakini hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa ama inayotaka kuchukuliwa kuhusiana na hii issue. Hapa inaonesha dhahiri kabisa kuna viongozi wa ngazi za juu serikalini wakihusika na hii issue.

Leo ntaweka baadhi ya picha za mabinti hao wanaojiuza na profile zao wanazotumia katika mitandao ya kijamii.

Baadhi yao ni wanafunzi na wengine huondoka kwa kisingizio cha kwenda kusoma na wakifika huko wanafanya biashara hiyo,na wengine huondoka kwa nia ya kwenda kutafuta maisha.

Nchi nyingine ambazo ziko kwenye chart kwa human traffick from Tanzania ni Malysia na China
Click image for larger version. 

Name: IMG-20140523-WA0036.jpg 
Views: 0 
Size: 40.7 KB 
ID: 166579Click image for larger version. 

Name: IMG-20140524-WA0025.jpg 
Views: 0 
Size: 224.4 KB 
ID: 166580Click image for larger version. 

Name: IMG-20140524-WA0026.jpg 
Views: 0 
Size: 249.0 KB 
ID: 166581Click image for larger version. 

Name: IMG-20140523-WA0040.jpg 
Views: 0 
Size: 94.7 KB 
ID: 166585Click image for larger version. 

Name: IMG-20140523-WA0043.jpg 
Views: 0 
Size: 89.9 KB 
ID: 166584Click image for larger version. 

Name: IMG-20140523-WA0035.jpg 
Views: 0 
Size: 34.5 KB 
ID: 166586Click image for larger version. 

Name: IMG-20140523-WA0034.jpg 
Views: 0 
Size: 21.5 KB 
ID: 166587Click image for larger version. 

Name: IMG-20140523-WA0030.jpg 
Views: 0 
Size: 58.0 KB 
ID: 166588
KUNA AMBAO PASS ZAO ZIMESHIKILIWA MPAKA WAMALIZWE KULIPA DENI LA BOSS LA NAULI ILIYOMPELEKA INDIA NA WENGINE PASS ZIME EXIPIRE HUISHI KWA UJANJA UJANJA.

KWA WANAOMALIZA KULIPA DENI HUA FREE KUOLEWA AMA KTAFUTA MEANS ZA KUISHI HUKO AMBAPO WENGI HUOLEWA NA WAZUNGU NA WAKONGO.

PIA WAPO AMBAO WAMEACHA WATOTO WAO HUKU TANZANIA NA KUKIMBILIA HUKO ILI KUTAFUTA PESA KWA NJIA HIYO.

KAMA SERIKALI HAITACHUKUA HATUA JUU YA SWALA HILI LITAKUJA KUA JANGA KAMA MADAWA YA KULEVYA NA KULETA AIBU KWA NCHI.

PIA WAZAZI FANYENI FOLLOW UP YA WATOTO WENU WANAFANYA SHUGHULI GHANI HUKO? SIO UNAONA RAHA KUPOKEA PESA USIZOJUA MWANAO KAZIPATA VIPI KUMBE WANALAZIMIKA MPAKA KULA AMA KULAMBA VITU VYA AJABU.

SOURCES NI MIMI MWENYEWE NA BAADHI YA MADEMU NILIWANUNUA DELHI"

No comments:

Post a Comment