Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Wednesday 30 October 2013

KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI CHAINGIA SIKU YA PILI

Kamishna wa Fedha na Utawala wa Jeshi la Magereza, Gaston Sanga (kulia) akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya jeshi hilo katika Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kinachoendelea katika Hoteli ya Paradise jijini Mbeya. Wa pili kulia (waliokaa) ni Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Mwamini Malemi. Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (Tughe) tawi la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Edson Nyinyimbe. Wa pili kushoto ni Venance Ntiyalundura, Katibu wa Baraza la Wafanyakazi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Kamishna wa Fedha na Utawala wa Jeshi la Magereza, Gaston Sanga akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya jeshi hilo katika Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Wizara wa Mambo ya Ndani ya Nchi kinachoendelea katika Hoteli ya Paradise jijini Mbeya. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Sehemu ya wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa baraza hilo ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi (hayupo pichani) wakati alipokuwa akizungumza na wajumbe wa Baraza hilo katika Hoteli ya Paradise jijini Mbeya. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.


KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI.

No comments:

Post a Comment