Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday 7 December 2013

USIOMBE KUPATA AJALI HIFADHINI, MAANA HATA WAFALME WA MWITU NAO WANAKUOTEA


 Gari hili linadaiwa kupata ajali tangu Jumatatu katika Hifadhi ya Serengeti, lakini mpaka leo hii wakati tunatoka huko lilikuwa bado halijatolewa. Hatukuweza kupata taarifa mara moja kama kuna watu waliopoteza maisha ama majeruhi na sababu hasa ya ajali hiyo.





No comments:

Post a Comment