Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday 17 December 2013

UNABISHA? NITAKUTWANGA!

Idi Amini Dada alikuwa bondia, halafu bingwa wa uzito wa juu kwao Uganda. Ubabe wake haukuchagua mahali, wakati wala nani. Hapa anazipanga kwa mzaha na Ian Woodledge. Huyu jamaa alikuwa noma.

No comments:

Post a Comment