Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Friday 13 December 2013

HUWEZI KUWACHUNGA NYATI, LAKINI NIMEWAKARIBIA



 Kati ya hifadhi tano nilizozitembelea wiki iliyopita ni Arusha pekee ambayo nilijiona huru zaidi. Mbali ya kuwaona wanyama aina ya Mbega, lakini niliweza kupiga picha kwa karibu zaidi na Nyati pamoja na Twiga. Haya siyo maigizo, nenda mwenyewe ukatembelee na utasadiki ninayokueleza. Ukitaka kujua uhondo wa ngoma, ingai ucheze.

No comments:

Post a Comment