Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Wednesday 4 June 2014

WAZIRI WA ULINZI HUSSEN MWINYI AZINDUA KIWANDA CHA KUTENGEZA VIFAA VYA UJENZI CHA UTURUKI.JUN 2-2014

1 (8)Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Hussen Mwinyi (katikati), akikata utepe kuzindua rasmi kiwanda cha kutengezea vifaa vya ujenzi cha Uturuki STONE BLOCK BUILDING. Jun 2,2014.kilichopo Kawe Mbezi Beach jijini Dar es Salaam (wakwanza kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki,  Balozi wa Uturuki nchini Tanzania Ali Davutoglu na maofisa wa Uturuki.
2 (9)Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki wakijadiliana jambo na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania Ali Davutoglu, wakati wa uzinduzi wa kiwanda hicho.
3 (7)Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe.Hussen Mwinyi (kushoto), akijadiliana jambo na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania Ali Davutoglu,wengine ni maofisa kutoka Uturuki.
4 (7)Wageni waalikwa wakiangalia burudani.
5 (3)Vijana wa kabila la Kimasai wakitoa burudani.
6 (2)Deus Kamwela, kutoka kikundi cha sanaa KCC akionyesha umahiri wake wa viongo.
7Wafanyakazi wa kiwanda hicho.
PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE 
CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment