Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday 9 February 2014

YANGA SC ILIVYOITIMBA KOMOROZINE JANA TAIFA..NGASSA NI BALAAA


Mshambuiaji wa Yanga SC, Mrisho Ngassa kulia akimtoka beki wa Komorozine ya Comoro katika mchezowa kwanza wa Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 7-0.
Ngassa akiwatoka mabeki wa Komorozine
Kiungo wa Yanga SCm Haruna Niyonzima akipambana na beki wa Komorozine
Mrisho Ngassa akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Komorozine
Mabeki wa Komorozine wakimdhibti kiungo wa ynga SC, Hamisi Kiiza
Hamisi Kiiza akimtoka beki wa Komorozinr
Haruna Nitonxima kulia
Simon Msuva akimtoka beki wa Komorozine
Kikosi cha Kimorozine
Kikosi cha Yanga
 Wachezai wa Yaaga wakifurahia ushindi wa 7-0 

No comments:

Post a Comment