Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Friday 21 February 2014

UFUGAJI WA NYUKI HUU, JUHUDI ZA SIDO-DODOMA

 Hiki ni kikundi cha ufugaji nyuki katika Kijiji cha Ilindi, wilaya ya Bahi mkoani Dodoma ambacho kimefaidika na mikopo na elimu ya stadi za ujasiriamali zinazotolewa na Shirika la Viwanda Vidogo nchini (SIDO) mkoani humo. Wengi wamenufaika na mikopo hiyo.
Tukitumia vyema rasilimali zetu, hasa misitu, zinaweza kutuletea tija kubwa.


No comments:

Post a Comment