Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday 27 July 2014

TANZANIA YAPOKEA TUZO YA USAFIRI WA ANGA DUNIANI

20140704_114713

Tanzania imekuwa moja ya nchi nne Afrika iliyotunukiwa tuzo ya kimataifa ya usafiri wa anga duniani na Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga duniani (ICAO) kutokana na mchango wake mkubwa katika ukuaji na usalama wa anga katika bara la Afrika.
Tuzo hiyo ilitolewa hivi karibuni mjini Dakar, Senegal na Rais wa ICAO, Dk. Bernard Aliu katika kikao cha 24 cha Kamisheni ya usafiri wa anga afrika.
Pichani Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania, John Chacha akipokea tuzo hiyo kutoka kwa Rais wa ICAO, Dk. Aliu

CREDIT: FULLSHANGWE

No comments:

Post a Comment