Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 28 July 2014

CAG AHUDHURIA KIKAO CHA 68 CHA BODI YA WAKAGUZI WA UMOJA WA MATAIFA NEW YORK, MAREKANI.

IMG_4972
CAG wa Tanzania Ludovick S. L Utouh pamoja na wajumbe wenziwe wa Bodi ya Ukaguzi ya Umoja wa Mataifa wakisaini ripoti 29 za taasisi za umoja huo zilizokaguliwa. Wajumbe hao ni Liu Jiayi kutoka China, Amyas Morse kutoka Uingereza ambae ni Mwenyekiti wa Bodi na Shashi Sharma kutoka India. Ripoti hizo zilisainiwa tarehe 24/7/2014.
IMG_4983
Picha ya makabidhiano ya mikoba ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa iliofanyika kati ya mjumbe kutoka China anayemaliza muda wake wa miaka sita aliyesimama wa pili kutoka kulia na mjumbe mpya kutoka India wa pili kutoka kushoto.
IMG_4996
Picha ya pamoja ya wajumbe wa Bodi ya Umoja wa Mataifa na wawakilishi wao wa Umoja wa Mataifa.
IMG_5021

Picha ya pamoja kati ya CAG, watumishi wake pamoja na Mwenyekiti wa Kamati ya Ushauri wa Ukaguzi wa Umoja wa Mataifa Kamlesh Vikamsey.
???????????????????????????????
CAG akifanya mahojiano na mwahandishi wa Habari wa redio ya umoja wa mataifa Bi Priscila Lecomte.

CREDIT: FULLSHANGWE

No comments:

Post a Comment