Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday 31 May 2014

NORWAY NA ZANZIBAR ZATILIANA SAINI UNENGWAJI WA WODI MPYA YA WATOTO

DSC_0959Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dk. Mohammed Jidawi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo Kikuu cha Helse Bergen kiliopo Haukelang Norway Dkt. Stener Kvinnsland wakitia saini makubaliano ya ujenzi wa Wodi mpya ya watoto eneo la Mnazi mmoja wakishuhudiwa na Balozi wa Norway Nchini Tanzania Bi. Ingunn Klepsvik alieva miwani. (Picha na Makame Mshenga wa Maelezo Zanzibar).
DSC_0984Balozi wa Norway Nchini Tanzania Bi. Ingunn Klepsvik akizungumza na viongozi wa Wizara ya Afya waliongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dk. Mohammed Jidawi mara baada ya utiaji saini makubaliano ya ujenzi wa Wodi ya watoto eneo la Mnazi mmoja, utakaoghari bilioni moja na milioni miasita za kitanzania mpaka kumalizika kwake.
DSC_1039Balozi wa Norway Nchini Tanzania Bi. Ingunn Klepsvik wakiteta jambo na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dk. Mohammed Jidawi mara baada ya utiaji saini makubaliano ya ujenzi wa Wodi mpya ya watoto Hospitali ya Mnazi mmoja.
(Picha na Makame Mshenga wa Maelezo Zanzibar).
CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment