Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday 31 May 2014

ACADEMIE TCHITE YAISHIKISHA ADABU AL-MERREIKH, MBEYA CITY FC JIONI HII KUWASHIANA MOTO NA VICTORIA UNIVERSITY

Na Baraka Mpenja, Dar es salaam
WENYEJI wa michuano ya CECAFA Nile Basin Cup, Al-Merreikh ya Sudan wametupwa nje ya michuano hiyo kwa penati 3-2 baada ya dakika 90 za kawaida kumalizika kwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Academie Tchite ya Burundi.
Merreikh ndio walikuwa wa kwanza kuandika bao la kuongoza dakika ya 4 kupitia kwa Agab Ramadan, lakini dakika ya 22 Academie wakasawazisha kupitia kwa Manishimwe Alain na matokeo hayo yalidumu mpaka dakika ya 90 na mshindi kupatikana kwa mikwaju ya penati.
Wachezaji wa Al-Merreikh waliokosa penati ni Amir Kamal, Wawa Pascal na 
Tia Togbi Olivier. Waliofunga ni Only Sadjo Haman na Elbasha Ahmed.
Vijana wa Academie waliofunga penati jana ni Ngando Omar, Barampanze Shaban na Manishimwe Alain. Mlinda mlango wa Academie Sonzera Anslem ndiye alikuwa nyota wa mchezo huo.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com
CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment