Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday 31 May 2014

BABA MZAZI WA SERGIO AGUERO ADAI MWANAYE ANAPENDA KWENDA BARCELONA

Star: Aguero scored 28 goals in 34 games last season as Man City won the Premier League and League Cup
BABA mzazi wa Sergio Aguero ameweka wazi kuwa mshambuliaji huyo wa Manchester City anapenda kujiunga na Barcelona na  vyombo vya habari nchini Hispania vimeripoti kuwa wababe hao wa Katalunya wanajiandaa kuweka mezani ofa ya paundi milioni 31.
Barcelona wapo tayari kufikia paundi milioni 47 ili kuinasa saini ya nyota huyo wa kimataifa wa Argentina kama Man City watakataa ofa yao ya kwanza.
Lakini kocha mpya wa Barcelona, Luis Enrique ameripotiwa kuvutiwa zaidi na Aguero na yuko tayari kumwaga kitita kirefu cha fedha kama Man City watakataa., hii ni kutokana na mtandao wa michezo wa Hispania.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com

CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment