Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Wednesday 20 August 2014

KWA WADADA: UNATAKA TUMBO LAKO LIWE FLAT? FANYA HIVI - 15

LEO NI KUKIMBIA KWENYE MASHINEMazoezi ya leo, ikiwa ni siku ya 15 ya mfululizo wa maelekezo ya mazoezi ya kupunguza nyama-uzembe na kuondoa mafuta mwilini kuhakikisha tumbo lako linakuwa flat, ni ya kukimbia kwenye mashine (treadmills).Kama uko kwenye gym, iseti mashine yako kwa kufuata mpangilio huu hapa chini:

TIMESPEED
(MPH)
INCLINENOTES
0:00-5:004.02.5Warmup
5:00-6:005.01.0
6:00-7:006.01.0
7:00-8:005.01.0
8:00-9:006.51.0
9:00-10:004.01.0
10:00-11:006.51.0
11:00-12:005.01.0
12:00-13:007.01.0
13:00-14:005.01.0
14:00-15:007.51.0
15:00-16:004.01.0
16:00-17:006.51.0
17:00-18:005.51.0
18:00-19:007.01.0
19:00-20:005.51.0
20:00-21:008.01.0
21:00-22:005.01.0
22:00-23:007.01.0
23:00-24:005.51.0
24:00-25:006.51.0
25:00-30:004.02.0Cooldown

Pata papai, tangawizi na juisi mchanganyiko

Baada ya mazoezi makali, pata mlo mzuri usio na asili ya mafuta, lakini pia hakikisha unapata papai, tangawizi na juisi mchanganyiko.

No comments:

Post a Comment