Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday 18 October 2015

LAMAR ODOM APATA FAHAMU SIKU TATU BAADAYE

Lamar akiicheze Clippers
Mchezaji wa zamani wa mpira wa vikapu katika ligi ya NBA nchini Marekani Lamar Odom hatimaye amepata fahamu siku tatu baada kuzirai ndani ya danguro katika jimbo la Nevada.

Msemaji amesema kuwa bwana Odom alizungumza na kutoa maamkuzi ya kidole katika kitanda chake cha hospitalini.
Alikuwa katika mashine ya usaidizi baada ya kupatikana siku ya jumanne akitokwa na damu puani na mdomoni.
Image copyrightReuters
Image captionOdom na aliyekuwa mkewe Khloe Kardashian
Wafanyikazi wa danguro la Love Ranch,huko Crystal,Nevada wamesema kuwa bwana Odom alikuwa katika danguro hilo kwa siku kadhaa na amekuwa akila dawa za kulevya aina ya cocaine pamoja na zile za kuongeza hamu ya ngono.
Odom aliwahi kushinda taji la ubingwa akiichezea Los Angeles Lakers.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment