Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday 24 October 2015

MAGUFULI AFUNGA KAMPENI ZAKE DAR KWA KISHINDO, AELEKEA MWANZA

magufuli akimwaga sera jangwani leo (2)
Dk. Magufuli akimwaga sera kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kwenye Viwanja vya Jangwani jana Ijumaa.
JK akimnadi Magufuli (1)JK akimnadi Magufuli (2)
Mwenyekiti wa CCM, Dk. Jakaya Kikwete akimnadi mgombea urais wa CCM, Dk. Magufuli jana Ijumaa.
JK na Magufuli wakikumbatiana
Dk. Jakaya Kikwete na Dk. Magufuli wakikumbatiana wakati wa mkutano wa leo.
Mama salma Kikwete kushoto na Mama Janeth Magufuli wakibadilisha mawazo wakat mkutano ukiendelea
Mama Salma Kikwete (kushoto) na Mama Janeth Magufuli wakibadilisha mawazo wakati mkutano ukiendelea.
JK akimnadi Jerry Slaa wa jimbo la Ukonga
JK akimnadi Jerry Silaa ambaye ni Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ukonga kwa tiketi ya CCM.
JK akimnadi Mgombea ubunge wa Kibamba dkt Fenella Mkandalla
JK akimnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kibamba (CCM), Dk. Fenella Mkangara.
MGOMBEA Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli jana Ijumaa alimaliza kampeni zake jijini Dar es Salaam kwa kumwaga sera zake katika Viwanja vya Jangwani kabla ya kesho kuhitimisha kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Baada ya kufunga kampeni zake, leo hii Dk. Magufuli ataelekea kijijini kwake huko Chato mkoani Geita kwa ajili ya kupiga kura yake keshokutwa.
(PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS / GPL, JANGWANI)

No comments:

Post a Comment