Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday 24 October 2015

NDESAMBURO ASEMA ALIYEKUWA MEYA WA MANISPAA YA MOSHI, JAFARY MICHAEL NDIYE ANAWEZA KUVAA VIATU VYAKE

Mbunge anayemaliza muda wake, Philemon Ndesamburo akimuombea kura mgombea Ubunge wa jimbo la Moshi mjini Jafary Michael (Chadema) katika mkutano uliofanyika katika viwanja vya Manyema mjini Moshi.
Baadhi ya wakazi wa Moshi waliojitikeza katika mkutano huo.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema taifa, Zanzibar Said Issa Mohamed akiwahutubia wakazi wa mji wa Moshi waliohudhuria katka mkutano huo.
Baadhi ya wakazi wa mji wa mOSHI.
Mgombea Ubunge jimbo la Moshi mjini,Jafary Michael akiwa amekaa jirani na Mbunge anayemaliza muda wake ,Philemoni Ndesamburo  wakifuatilia hotuba iliyokuwa ikitolewa na Makamu Mwenyekiti wa Chadema taifa Zanzibar ,Said Issa Mohamed (hayupo pichani).
Mgombea Udiwai kata ya Pasua,Mkome Mkalakala.
Mgombea Udiwani kata ya Majengo,Mwalimu Minja.
Mgombea Udiwani kata ya Rau,Peter Kimaro.
Mgombea Udiwani kata ya Miembeni,Mbonea Mshana.
Mgombea Udiwani kata ya Longuo,Raymond Mboya.
Mgombea Udiwani kata ya Ngambo,Genesis Kihwelu .
Mgombea Udiwani kata ya Mji Mpya,Abuu Shayo.
Mgombea Udiwani kata ya Njoro,Jomba Khoi.
Baadhi ya Wagombea wa nafasi ya Udiwani katika kata mbali mbali ndani ya jimbo la Moshi mjini wakifuatilia mkutano huo akiwemo mgombea Udiwani kata ya Ngangamfumuni.Anthony.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema taifa,upande wa Zanzibar,Said Issa Mohamed akitoa maelekzo namna ya kupiga kura na kukunja karatasi mara baada ya kupiga kura yako,
Aliyewahi kuwa Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi,Lameck Kaayaa aliyekihama chama cha Mapinduzi hivi karibuni akiwa katika mkutano huo.
Umati wa watu uliojitokeza katika mkutano huo.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment