Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Thursday 22 October 2015

DK MAGUFULI AZURU MAKABURI YA BABU NA BIBI ZAKE KATOMA,GEITA


 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli (kushoto)  akiwa na baadhi ya ndugu jamaaa na marafiki wakisali alipozuru kaburi la babu yake Simon Marko Magufuli na bibi yake Anastazia wazaa baba yake  aliposimama kwa muda katika Kijiji cha Katoma, Geita Vijijini, , akielekea kufanya mkutano wa kampeni katika Kata ya Nkoma,. NPICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG


 Wananchi wakiwa wamekusanyika nyumbani kwa kakake Dk Magufuli katika Kijiji cha Katoma
 Dk Magufuli akiondoka baada ya kuzuru makaburi ya babu na bibi zake katika Kijiji cha Katoma
Dk Magufuli akizungumza na wananchi baada ya kuzuru makaburi

No comments:

Post a Comment