Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Wednesday 29 April 2015

NDEGE BILA RUBANI ZATUMIWA KATIKA UOKOAJI NEPAL

Ndege isiyo na ribani au (Drone)
Ndege ndogo zisizokuwa na rubani zinazofahamika kama (Drones) zinatumiwa kusambaza misaada nchini Nepal.

Nchi hiyo ilikumbwa na tetemeko kubwa la ardhi la vipimo vya 7.8 wiki iliyopita ambapo watu wengi waliuawa na uharibifu mkubwa ulitokea.
Shirika la kutoa misaada la Charity Global Medic, linatumia ndege hizo kupiga picha ili kutambua sehemu zilizoathiriwa na tetemeko hilo.
Kisha ndege hizo hutuma picha kwa makundi ya watoa misaada na ya waokoaji walio ardhini.
BBC

No comments:

Post a Comment