Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday 2 August 2014

MAREKANI KUISAIDIA ISRAEL KUJILINDA DHIDI YA HAMAS



Marekani imepitisha mswada unaotoa msaada wa kifedha kwa Israel kuimarisha mfumo wake wa kujilinda dhidi ya makombora.
Mswada huo unatoa dola millioni mia mbili na ishirini na tano kuimarisha mfumo huo ambao umetumiwa kuyatungua makombora kadhaa ya roketi kutoka kwa wapiganaji wa kipalestina katika majuma ya hivi karibuni.
Mpango huo wa fedha hatahivyo ni sharti upitishwe na bunge la wawakilishi na kutiwa sahihi na rais Obama.
Waandishi wanasema kuwa wabunge wa Marekani wamekuwa wakiunga mkono Israel hivyobasi mswada huo huenda usikabiliwe na vikwazo vyovyote.
BBC

No comments:

Post a Comment