Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Friday 9 January 2015

WHATSAPP YAVUNJA REKODI YA 'UJUMBE'


Kila siku zaidi ujumbe billioni 30 wa mtandao wa WhatsApp hutumwa kulingana na takwimu mpya zilizotolewa na afisa mkuu wa mtandao huo Jan Koum.

Pia kuna watumiaji millioni 700 wanotumia mtandao huo mara kwa mara.
Koum anasema kuwa shirika hilo linafurahia idadi kubwa ya wateja ilionao.
Lakini idadi hiyo ni kubwa mno na hivyobasi kuwa vigumu kuelewa.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment