Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Thursday 15 January 2015

NYALANDU INVITE SUADIS TO INVEST IN THE TOURISM INDUSTRY

Displaying 1.JPG
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu (wa pili kushoto) akimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Chemba ya Biashara ya Saudi Arabia Dk. Abdulrahman Al-Zamil (wa tatu kushoto) jijini Riyadh, Saudi Arabia. Wengine katika picha kutoka kulia ni Mshauri wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Mamlaka ya Wanyamapori ya Saudia Mohammad Sulayem; Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii Dk. Adelhelm Meru na Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia Prof. Abdillah Omari.
Displaying 5.JPG
Ujumbe wa Serikali ya Tanzania ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu (wa tano kushoto) ukiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Chemba ya Biashara ya Saudia Dk. Abdulrahman Al- Zamil (wa sita kushoto) mara baada ya kumalizika kwa mazungumzo baina ya pande mbili jijini Riyadh, Saudi Arabia. Wengine pichani kutoka kushoto ni pamoja na Mkurugenzi wa Wanyamapori Herman Keraryo; Mkurugenzi Mkuu TANAPA Allan Kijazi; Mhe James Lembeli; Mhe Peter Msigwa; Katibu Mkuu Maliasili na Utalii Dk. Adelhelm Meru pamoja na maafisa kutoka Chemba ya Biashara ya Saudia.
Displaying 4.JPG
Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii Mhe. Peter Msigwa (kushoto) akikaribishwa na Mwenyekiti wa Chemba ya Biashara ya Saudia Dk. Abdulrahman Al-Zamil jijini Riyadh, Saudi Arabia.
Displaying 3.JPG
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Mhe. James Lembeli akikaribishwa na Mwenyekiti wa Chemba ya Biashara ya Saudia Dk. Abdulrahman Al-Zamil jijini  Riyadh, Saudi Arabia.
Displaying 2.JPG
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu (kushoto) katika mazungumzo na Mwenyekiti wa Chemba ya Biashara ya Saudi Arabia Dk. Abdulrahman Al-Zamil jijini Riyadh, Saudi Arabia. 
By Pascal Shelutete, TANAPA

Minister for Natural Resources and Tourism Hon. Lazaro Nyalandu (MP) has urged Saudi investors to come to Tanzania, highlighting the existing investment opportunities in the hospitality industry in the country.
He told a group of business community led by the Chairman of the Saudi Chamber of Commerce H.E Dr. Abdulrahman Al-Zamil in Riyadh, that the country have attractive investment procedures in setting up business particularly in the hospitality industry where there is a need to build more hotels and lodges to cater for the increasing number of tourist arrivals. “The existing investment environment is suitable for more investors from Saudi Arabia especially in the tourism sector where more hotels are needed now than before,” said Nyalandu who is leading a high profile delegation from the ministry of natural resources and tourism in Saudi Arabia.
He said Tanzania was growing in terms of business with various investment potentials available in the country citing shortage of bed capacities in the country as one area open for investors. He further said that Tanzania has taken the lead in attracting foreign direct investment (FDI) in the East African region.
He mentioned that Tanzania is second after Brazil globally in terms of having abundance natural attractions and that major efforts are now needed to translate them for the well being of our economy.
Tanzanian delegation mission to Saudi Arabia is also meant to ask for more support in strengthening wildlife conservation sector in the country. 
Tanzania has been working closely with Saudi Arabia in promoting wildlife conservation.
Hon. Nyalandu further mentioned that although the number of Arab tourists to East Africa is not as big as the European and American holidaymakers, there has been a notable figure of hunting tourists from the Middle East to Tanzania and the rest of East Africa.
It is estimated that nearly 15,000 tourists come from Middle East states every year, compared to traditional tourists from Europe and North America.
Minister Nyalandu and his delegation met with Saudia Prince Bandar bin Saud bin Mohammad Al-Saud, who is also the President of Saudi Wildlife Authority.

Hon. Nyalandu was also accompanied with the Permanent Secretary in the Ministry of Natural Resources and Tourism Dr. Adelhelm Meru; Tanzania Ambassador in Saudi Arabia Prof. Abdillah Omari; Hon. James Lembeli, Chairman of Parliamentary Committee on Lands, Natural Resources and Environment; Shadow Minister for Natural Resources and Tourism, Hon. Peter Msigwa and the Director General of TANAPA, Allan Kijazi.

No comments:

Post a Comment