Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 26 January 2015

MSAFARA WA JESHI WASHAMBULIWA MALI


Ripoti kutoka nchini Mali zinasema kuwa watu wasiojulikana wameshambulia msafara wa kijeshi karibu na mji wa Timbuktu.

Wanajeshi wawili waliuawa kwenye mji ulio kaskazini wa Douékiré.
Shambuliz hilo linajiri wakati ambapo kiwango cha mashambulizi kimeongezeka siku za hivi majuzi.
Wiki iliyopita watu waliokuwa na silaha waliishambulia kambi moja ya umoja wa mataifa na kumuua mlinda amani mmoja kutoka Chad.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment