Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday 16 March 2014

WARAKA UNAODAIWA KUZUA VITA VYA KAGERA 1978 HUU HAPA


Telegraph (simu ya maandishi) kutoka kwa Idi Amin Dada Oumee kwenda kwa Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1978 ndiyo inayodaiwa kwamba ilizua Vita ya Kagera. Inasomeka hivi: “I want to assure you that I love you very much and if you had been a woman I would have considered marrying you, although your head is full of grey hairs. But as you are a man, that possibility does not arise”

No comments:

Post a Comment