Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 27 July 2015

ZUNGU AZINDUA AIRTEL RISING STAR

Mussa Azzan Zungu

Mbunge wa Ilala, Mussa Zungu leo amezindua michuano ya Airtel Rising Star kwa mkoa wa Dare salaam, ambapo timu kutoka wiliya za Ilala, Temeke na Kinondoni zinashikriki michuano hiyo.

Akifungua michuano hiyo, Zungu amewatka vijana kutumia vizuri nafasi hiyo ya michuano ya Airtel Rising kuonekana, kwani kutawapelekea kupata nafasi ya kucheza katika timu kubwa na kuweza kuendesha maisha yao kwa kupitia mpira wa miguu.

Michuano ya Airtel Rising Stars imekua ikifanyika kila mwaka nchini kwa lengo la kusaka na kuibuka vipaji vya wachezaji wenye umri chini ya miaka 17, ambapo wachezaji wenye vipaji huchaguliwa na kupelekwa katika vituo vya kufundisha soka na wengine huchaguliwa katika kikosi cha Taifa cha Vijana (Serengeti U17).
IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)

No comments:

Post a Comment