Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday 28 July 2015

WAGANDA WAPATA VIBALI VYA KAZI SAUDIA

Muruli Mukasa, Waziri wa Jinsia na Maendeleo ya Jamii wa Uganda.

Mazungumzo yaliyofanywa kati ya Uganda na Saud Arabia, yametoa nafasi kwa raia wa Uganda kupata vibali vya kufanya kazi nchini humo.

Hata hivyo kuna wasiwasi huenda Waganda hao wakanyanyaswa.
Hali hii inakuja wakati kuna malalamiko ya wanawake wanaokwenda kufanya kazi katika nchi za mashariki ya kati kunyanyaswa.
Muruli Mukasa ni Waziri wa Jinsia na Maendeleo ya Jamii wa Uganda.

No comments:

Post a Comment