Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Friday 31 July 2015

HAKUNA CHUO KIKUU HATA KIMOJA CHA TANZANIA KATIKA UBORA AFRIKA

Vyuo vikuu vya Afrika Kusini ndio bora zaidi na maarufu barani Afrika.

Katika utafiti uliofanyika majuzi, vyuo vikuu vya Afrika Kusini vilishika nafasi 6 katika orodha ya vyuo vikuu kumi bora.
Chuo kikuu cha Makerere nchini Uganda kimeorodheshwa katika nafasi ya tatu.
Chuo kikuu cha Port Harcourt kilichoko Nigeria kimeorodhesha katika nafasi ya sita.
Kunani vyuo vikuu vya Afrika Mashariki ?
Chuo kikuu cha Nairobi nchini Kenya kimeorodheshwa katika nafasi ya nane.
Jarida la ''The Times Higher Education'' lilitumia idadi na ubora nukuu kutoka kwa wasomi wake.
Je viwango vya ubora wa masomo na utafiti wa vyuo vikuu vya Afrika Mashariki vimeshuka ?
Jadili
Orodha kamili.
Chuo kikuu cha Cape Town - Afrika Kusini
Chuo kikuu cha Witwatersrand - Afrika Kusini
Chuo kikuu cha Makerere - Uganda
Chuo kikuu cha Stellenbosch - Afrika Kusini
Chuo kikuu cha KwaZulu-Natal - Afrika Kusini
Chuo kikuu cha Port Harcourt - Nigeria
Chuo kikuu cha Western Cape - Afrika Kusini
Chuo kikuu cha Nairobi - Kenya
Chuo kikuu cha Johannesburg - Afrika Kusini
Chuo kikuu cha Cadi Ayyad - Morocco
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment