Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 27 July 2015

GULIO LA MAGARI ‘AUTOMART’ LAZINDULIWA JIJINI DAR



Mkurugenzi wa Vision Investments, Ally Nchahaga (katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijijini Dar es Salaam Julai 26.2015, wakati wa uzinduzi wa Gulio la Magari lijulikanalo kama ‘Automart’ litakalofanyika kila Jumapili ya mwisho wa mwezi na kuwakutanisha  wauzaji na wanunuzi wa katika viwanja vya maegesho ya magari vya Hoteli ya Sea Cliff Masaki jijini.  Kushoto ni Meneja masoko wa Mtandao wa kuuza magari wa Cheki.co.tz, Mori Bencus na Mkurugenzi wa kampuni ya Auto Sport Repairs, Sikandar Merali. PICHA ZOTE NA JOHN BADI WA DAILY MITIKASI BLOG

No comments:

Post a Comment