Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday 30 December 2014

ALAN IVRINE ATIMULIWA WEST BROM


Timu ya West Brom imemfuta kazi kocha wake Alan Ivrine ambaye amekuwa na klabu hiyo kwa miezi saba tangu apate kibarua hicho.

Kocha huyo mwenye miaka 56 raia wa Scotland alikuwa na mkataba wa miezi 12 ambaa upo katika mfumo wa uendelevu.
Ivrine alichukua nafasi ya Pepe Mel ambaye alikuwa akikinoa kikosi hicho ambapo kwa sasa mfululizo vipigo na hiki cha Jumapili cha 2-0 toka kwa Stoke City kimeuchefua timu hiyo na kuona iko haja kocha huyo kuachia ngazi.
CREDIT: BBC/MICHEZO

No comments:

Post a Comment