Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 24 November 2014

UGAIDI WAINGIA MICHEZONI

Rais wa Afghanstan Ashraf Ghani
Mtu mmoja aliyekuwa amejifungasha kwa mabomu amejitoa muhanga kwa kushambualia mechi ya Volleyball mashariki mwa Afghanstan,na kuua watu wapatao arobaini na watano.

Msemaji wa Gavana wa jimbo la Paktika amesema watu wengine hamsini walijeruhiwa vibaya baada ya mtu huyo kujiripua katikati ya mashabiki wa mchezo huo.
Inasadikiwa kuwa watu wapatao miamoja walijitokeza kushuhudia mechi hiyo ya fainali ya kuwania kuingia katika michuano ya majji nchini humo.
Mpaka sasa hakuna kundi lolote lililokubali kuhusika na shambulio hilo ingawa kuna shaka kwamba huenda kikundi cha kutoka nchini Taliban.
Naye raisi wa Afghanstan Ashraf Ghani ameelezea shambulio hilo kuwa si la kiutu wala si la kislam.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment