Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Friday 28 November 2014

KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ARUSHA LEO

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mbarak Abdulwakil   wa pili kutoka kushoto akimsikiliza Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Bw.Adoh Mapunda muda mfupi kabla ya Bw. Mapunda kufungua kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kilichoanza leo jijini Arusha katika hoteli ya Corridor Springs.unnamed1Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mbarak Abdulwakil   wa tatu kutoka kulia akimkaribisha Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Bw. Adoh Mapunda kwenda kufungua kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kilichoanza leo jijini Arusha katika hoteli ya Corridor Springs, wa kwanza kutoka kulia ni Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Abdulrahman Kaniki anayefuatia ni Kamishna Mkuu wa Idara ya Uhamiaji Sylivester Ambokile .
unnamed3Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Bw. Adoh Mapunda wa kwanza kutoka kulia akifurahia jambo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mbarak Abdulwakil   baada ya Bw. Mapunda kufungua kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kilichoanza leo jijini Arusha katika hoteli ya Corridor Springs.unnamed4Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mbarak Abdulwakil   wa pili kutoka kulia akiimba wimbo wa Solidarity Forever pamoja na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, wa pili kutoka kulia ni Katibu wa Baraza hilo la Wafanyakazi la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Jenitha Ndone.Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi limeanza leo jijini Arusha katika hoteli ya Corridor Springs.
unnamed5Sehemu ya wajumbe wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakiimba wimbo wa Solidarity Forever wakati wa kikao hicho, kinnachoendelea jijini Arusha katika hoteli ya Corridor Springs, wa pili kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Huduma kwa Jamii Fidelis Mboya.
unnamed6Sehemu ya wajumbe wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakishiriki kikao hicho kinachoendelea jijini Arusha katika hoteli ya Corridor Springs, wa kwanza kutoka kushoto ni Avelin Momburi ambaye ni Mkurugenzi wa Utawala na Fedha Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).
unnamed8

No comments:

Post a Comment