Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday 28 October 2014

MAADHIMISHO YA MWEZI WA HUDUMA KWA WATEJA WA NBC YAZIDI KUNOGA


Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NBC Tanzania, Rukia Mtingwa (kulia) akizungumza na mteja wa benki hiyo, Job Mwakibinga katika tawi la Mlimani City ikiwa ni sehemu ya maadhimisho yanayoendelea ya Mwezi wa Huduma kwa Wateja ambapo maofisa wa benki hiyo hutembelea matawi mbalimbali na kuhudumia wateja.

Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NBC Tanzania, Rukia Mtingwa (katikati) akizungumza na mteja wa benki hiyo, Job Mwakibinga katika tawi la Mlimani City ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Mwezi wa Huduma kwa Wateja ambapo maofisa wa benki hiyo hutembelea matawi mbalimbali na kuhudumia wateja. Kulia ni Mkuu wa Matawi ya NBC, Gaudence Shawa.
Mkuu wa Matawi ya Benki ya NBC, Gaudence Shawa (kulia) akizungumza na na mmoja wa mteja wa benki hiyo katika tawi la Mlimani City ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Mwezi wa Huduma kwa Wateja ambapo maofisa wa benki hiyo hutembelea matawi mbalimbali na kuhudumia wateja.
 
Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NBC Tanzania, Rukia Mtingwa (kushoto) akizungumza na mmoja wa wateja wa benki hiyo katika tawi la Mlimani City ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Mwezi wa Huduma kwa Wateja wa NBC.
Baadhi ya wateja katika Tawil la NBC Mlimani City wakipewa viburudisho wakati wakisubiri kuhudumiwa. Ili kuadhimisha mwezi wa huduma kwa wateja maofisa wa benki hiyo hutembelea matawi mbalimbali ili kuzungumza na kupata maoni yao kuhusu ubora wa huduma wazipatazo. 

No comments:

Post a Comment