Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 27 October 2014

INATISHA: TAZAMA HAPA MWIZI ALIPOKUBALI KUKATWA VIDOLE, ANUSURIKA KIFO!

Jamaa hawakuwa na nia ya kumuua, badala yake walitaka kuondoa vidole vinavyotumiwa na kijana huyu kukwapua mifukoni mwa watu. Baada ya kukamatwa red handed akikwapua, wananchi wakataka kumuua. Lakini akatokea mmoja akiwa na bastola akawaambia wasubiri. Wakampa kijana hayo masharti mawili: achague kupigwa risasi ama kuweka mkono wa kulia vidole vikatwe. Akaona bora aendelee kuishi hata kama hana vidole, akakatwa vidole bila ganzi. Mungu anasema "...USIIBE..."

No comments:

Post a Comment