Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Wednesday 29 October 2014

HAYA NDIYO MATOKEO YA EBOLA

Sierra Leone
Sierra Leone imeshutumu uamuzi wa nchi ya Australia kusitisha zoezi la kutoa visa kwa raia kutoka Africa Magharibi zilizo athiriwa na ugonjwa wa Ebola.

Waziri wa habari wa Sierra Leone.Alpha Kanu ameielezea hatua hiyo kama ni ya kibabe na kibaguzi na kwamba haitazaa matunda.
Wakati huo huo msemaji wa serikali ya uganda ameshangazwa na namna nchi za Magharibi kwa ujumla wake wanavyo chukulia mlipuko wa ugonjwa wa Ebola.
Akaongeza pia kuwa nchi hizo zimejenga wasiwasi mkubwa kwa umma wa raia wa nchi za Africa Magharibi,na kwamba hii haitasaidi juhudi zinazofanywa za kukabiliana na ugonjwa wa Ebola ili kuudhibiti.
CREDIT: BBC/SWAHILI

No comments:

Post a Comment