Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 27 October 2014

HAYA NDIYO MAKUBALIANO YA UKAWA

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema na Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa

MAKUBALIANO SABA YA UKAWA.
1. SERA,-Kudumisha sera za vyama vyote vinne na kuchukua mambo yanayofanana ili kuvifanya viwe na kauli ya Pamoja.
2.WAGOMBEA,-Kusimamisha wagombea wa pamoja katika chaguzi zote za Serikali za Mitaa, Wabunge, Baraza la Wawakilishi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Zanzibar.
3.UTARATIBU,-Namna gani vyama vitashirikiana katika uchaguzi wa serikali za Mitaa na uchaguzi Mkuu na kusambaza Mwongozo katika mikoa mbalimbali kuwaelekeza viongozi mambo yanayotakiwa.
4.KURA YA HAPANA,-Kushirikiana katika mchakato wa kupiga kura ya hapana katika kura ya maoni ya katiba inayopendekezwa kwa kuwa haijazingatia maoni ya Wananchi.
5.USHIRIKIANO,-Kufanya kazi kwa pamoja katika maswala ya msingi kwa maslah ya Nchi.
6.MUUNGANO,-Kuulinda muungano bila kuwa na migongano ya maslahi kama ilivyo sasa.
7.UZALENDO,-Kuhimiza na kusimamia ushirikiano wa pamoja baina yao na makundi mbalimbali bila kuweka mbele maslah yoyote ya vikundi na kuhakikisha Wananchi wanapata Tanzania mpya.

No comments:

Post a Comment