Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday 12 November 2013

DK. MVUNGI AFARIKI DUNIA

Habari zilizoifikia blog hii hivi punde ni kwamba, Dk Sengondo Mvungi amefariki dunia nchini Afrika Kusini alikokwenda kutibiwa kufuatia kuvamiwa na watu wanaosadikiwa majambazi ambao walimkatakata mapanga.
Dk Mvungi, ambaye alikuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba na Mkurugenzi wa Katiba wa Chama cha NCCR Mageuzi, amefariki kufuatia majeraha makubwa aliyoyapata pamoja na kuvilia damu kwenye ubongo.
Tutawaeletea taarifa baadaye.

No comments:

Post a Comment