Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday, 18 July 2015

FBI WASEMA, ALIYESHAMBULIA KITUO CHA KIJESHI ALIJIANDAA


Shirika la Ujasusi la Marekani (FBI) linasema kuwa mwanamme ambaye alishambulia kituo kimoja cha kijeshi katika mji wa Chattanooga siku ya Alhamisi alikuwa na bunduki mbili na pia alikuwa amevaa nguo ambazo zilikuwa zimetengenezwa kubeba risasi.

Muhammad Youssef Abdulazeez aliwaua wanajeshi wanne wanamaji kabla ya kuuawa.
Anaripotiwa kuishi eneo la mashariki ya kati kwa kipindi cha mieze saba. FBI inasema kuwa inalichukulia shambulizi hilo kuwa la kigaidi licha ya kuendelea kuchunguza lengo la mauaji hayo.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment