Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Thursday, 21 May 2015

KAMATI YA UTENDAJI YA TFF KUKUTANA MEI 24

Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF inatarajiwa kukutana jumapili tarehe 24, Mei mwaka huu ikiwa ni kikao cha kawaida cha kamati hiyo.


Moja ya ajenda katika kikao hicho itakua ni kupokea na kujadili mienendo, maandalizi na maendeleo ya timu zaetu za Taifa za mpira wa miguu nchini.

NB: Picha za mchezo wa jana kati ya Tanzania dhidi ya Madagascar 
zimeambatanishwa

IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)

No comments:

Post a Comment