Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Friday 29 July 2016

Tigo yadhamini mkutano wa wadau wa simu duniani (GSMA)

Mkurugenzi wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Diego Gutierrez (kushoto) akijibu swali wakati wa mahojiano kwenye mkutano wa wadau wa Makampuni ya simu Duniani (GSMA) wanaokutana jijini Dar es Salaam.


  1. Mkuu wa kitendo cha masoko wa kampuni ya Simu za mkononi ya Tigo Tanzania Olivier Prentout (kulia), akizungumza na Emmanuel De Dinechin ambaye ni mshiriki mwenzake wa mkutano wa wadau wa Makampuni ya simu Duniani (GSMA) wanaokutana jijini Dar es Salaam.


  1. Head of B2B wa Kampuni ya Tigo Tanzania Rene Bascope (kulia), akizungumza na washiriki wenzake  wa mkutano wa wadau wa Makampuni ya simu Duniani (GSMA) wanaokutana jijini Dar es Salaam, Kushoto ni Peter Maver na katikati ni Riyaz Shak.

Afisa Biashara mkuu wa Kampuni ya simu za mkononi ya Tigo Shavkat Berdiev akizungumza na waandishi wa habari kabla ya kuhutubia mkutano wa wadau wa makampuni ya simu duniani (GSMA) unaofanyika nchini.

Wadau wa habari wakiwa katika banda la Millicom ambayo ni kampuni mama ya kampuni ya simu za mkononi ya Tigo Tanzania.

No comments:

Post a Comment