Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 18 July 2016

KATIBU MKUU WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI AIPONGEZA TIMU YA UCHUKUZI KWA KUIBUKA MSHINDI MASHINDANO YA MEI MOSI


Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Dkt. Leornard Chamuriho kulia akopokea moja baadhi ya vikombe 11 ambavyo timu ya uchukuzi imeshinda katika mashindano ya mei mosi yaliyofanyika mapema mwezi mei mkoani Dodoma, anayemkabidhi ni Katibu wa Uchukuzi Sports Club Bw. Alex Temba.(Picha na Benjamin Sawe- Maelezo).
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Dkt. Leornard Chamuriho kulia akipokea cheti cha ushiriki wa mashindano ya mei mosi yaliyofanyika mpema mwezi mei mkoani Dodoma, anayemkabidhi ni Katibu wa Uchukuzi Sports Club Bw. Alex Temba
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Dkt. Leornard Chamuriho kulia akipokea zawadi ya jezi kutoka kwa Katibu wa Uchukuzi Sports Club Bw. Bw. Alex Temba mara baada ya kupokea vikombe 11 ambavyo timu ya uchukuzi imeshinda katika mashindano ya mei mosi yaliyofanyika mpema mwezi mei mkoani Dodoma, kati ya hivyo vikombe 5 vilitolewa na Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. John Pombe Magufuli vikiwa ni ushindi wa kwanza katika netball Kamba,Baiskeli na Bao
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Dkt. Leornard Chamuriho aliyeshika Kikombe akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi na wachezaji wa timu ya Uchukuzi Sports Club mara ya kupokea vikombe na vyeti vya ushindi wa timu hiyo katika mashindano ya mei mosi yaliyofanyika mapema mwezi mei mkoani Dodoma.

No comments:

Post a Comment