Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday 28 March 2015

SHARAPOVA NJE MICHUANO YA MIAMI


Maria Sharapova
Sharapova anayeshikilia nafasi ya pili kwa ubora duniani alikubali kichapo cha seti 7-6 (7-4) 6-3 kutoka kwa Daria Gavrilova anayeshikilia nafasi ya 97 kwa ubora wa mchezo huo duniani.

Katika mchezo mwingine Caroline Wozniacki, alimgaragaza Madison Brengle wa Marekani kwa seti 6-0 6-1.
Kwa upande wa wanaume Vasek Pospisil wa Canada alipata ushindi wa kishindo dhidi ya mpinzani wake Juan Martin Del Potro toka Ajentina kwa seti 6-4 7-6 (9-7)
Michezo mingine ya leo, mchezaji nambari 3 kwa ubora duniani Rafael Nadal atachuana na Nicolas Almagro, huku Andy Murray akionyeshana kazi na Donald Young wa Marekani.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment