Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 30 March 2015

FLETCHER AONDOA MWIKO WA HAT-TRICK SCOTLAND

 
Steven Fletcher

Mchezaji Steven Fletcher ameifungia timu yake ya taifa ya Scotland hat-trick ya kwanza baada ya miaka 46 pale walipocheza dhidi ya Gibraltar.

Mchezaji wa mwisho kufunga hat-trick katika timu hiyo alikuwa ni Colin Stein ambapo alifunga magoli 4 mnamo mwaka 1969 pale walipocheza dhidi ya Cyprus. Katika mchezo huo wa jana ambao uliisha kwa ushindi wa jumla ya mabao 6-1 umeikumbusha Scotland ushindi mnono ulioupata mwaka 2006, iliposhinda mabao 6-0 dhidi ya Faroe Islands.
Fletcher mwenye umri wa miaka 28 ni mchezaji wa kimmataifa ambaye anakipiga ligi kuu ya England ndani ya klabu ya Sunderland.
BBC

No comments:

Post a Comment