Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 24 August 2015

WALIMU KENYA KUPEWA NYONGEZA YA MSHAHARA ASILIMIA 60

Walimu wa Kenya wakiwa katika maandamano
Walimu nchini Kenya wana kila la wanatarajiwa kupokea nyongeza ya mshahara kwa hadi asilimia 60.

Mahakama ya juu imetoa uamuzi huo baada ya mvutano wa muda mrefu kati ya serikali na muungano wa walimu.
Serikali imekuwa ikisema haina uwezo wa kuendelea kuwapa nyongeza zaidi walimu laki mbili nchini humo.
Walimu walikuwa wameapa kugoma iwapo hawangepata nyongeza hiyo.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment